sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Comments

Text Widget

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Total Pageviews

Translate

Advertise

Comments


Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Column Left

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus leo ante, consectetur sit amet vulputate vel, dapibus sit amet lectus. Etiam varius dui eget lorem elementum eget mattis sapien interdum. In hac habitasse platea dictumst.

Recent Posts

Popular Post

Most Popular

Recent Tube

Wisata

News Scroll

Favourite

Event

Culture

Gallery

» » MARTIN FAYULU AVUNJA UKIMYA JUU YA MATOKEO YA UCHAGUZI DRC

Mgombea wa upinzani Martin Fayulu ameonya tume ya uchaguzi kutoficha ukweli



Martin Fayulu, mgombea wa upinzani akizungumza na wanahabari mjini Kinshasa, Democratic Republic of Congo, 8 January 2019Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMartin Fayulu, mgombea wa upinzani anasema mamlaka sharti itangaze matokeo ya uchaguzi ili kuzima taharuki inayoshuhudiwa nchini

Mgombea wa urais wa upinzani nchini Congo DRC Martin Fayulu amewaonya maafisa wa uchaguzi dhidi ya ''kuficha ukweli'' huku hali ya taharuki ikiendelea kutanda baada ya matokeo ya uchaguzi kucheleweshwa.
Bwana Fayulu amesema "watu wa Congo tayari wanajua" matokeo ya uchaguzi uliyofanyika Desemba 30 kuahirishwa kwa wiki moja.
Matokeo ya awali ya uchaguzi huo yalitarajiwa kutangazwa siku ya Jumapili ya Januari 6 lakini yakaahirishwa.
Uchaguzi huo ulikuwa wa kumtafuta mrithi wa rais Joseph Kabila, ambaye anaachia madaraka baada ya kuongoza nchi hiyo ya maziwa makuu kwa miaka 18.
Kabila ameahidi kwamba uchaguzi huo ambao ulikuwa umepangwa ufanyike miaka miwili uliyopita utakuwa wa kwanza wa kupokezana madaraka kwa njia ya kidemokrasia nchini DR Congo tangu taifa hilo lilipojinyakulia uhuru wake kutoka kwa Ubelgiji mwaka 1960.
Mrithi wake anayempendelea ambaye pia ni waziri wa zamani wa mambo ya ndani Emmanuel Shadary,anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wagombea wa upinzani Martin Fayulu,tajiri mkubwa wa mafuta na Felix Tshisekedi, mwana wa kiume wa kigogo wa upinzani.

Afisa wa tume ya uchaguziHaki miliki ya pichaREUTERS

Siku wa Jumanne, Bwana Fayulu alisema Tume ya uchaguzi (Ceni) lazima "itangaze matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais hivi karibuni," akiongeza kuwa: "Matokeo ya uchaguzi kamwe haina mjadala."
Awali mkuu wa tume ya uchaguzi, Corneille Nangaa, alisema kuwa kura kutoka baadhi ya vituo vya kupigia kura bado hazijahesabiwa.
Bwana Nangaa, ambaye hajasema nilini matokeo ya awali yatatangazwa ametoa wito kwa watu kuwa na subira licha ya hali ya wasiwasi inayoendelea kushuhudiwa nchini kutokana na kucheleshwa kwa matokeo ya uchaguzi.
Huku hayo yakijiri kanisa katoliki ambalo lilitoa jumla ya waangalizi 40,000 limesema kuwa linajua ni nani aliyeshinda uchaguzi.
Tamko hilo limekosolewa vikali na maafisa wa serikali ya bwana Kabila.
Siku moja baada ya uchaguzi huduma ya mawasiliano ya intaneti yalifungwa katika miji muhimu ya taifa la DR Congo katika hatua ambayo serikali ilesema ni ya kudhibiti kusambazwa kwa matokeo ya uchaguzi amabyo sio rasmi
Mwezi uliyopita rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kuwa wanajeshi 80 wa nchi hiyo wamepelekwa katika taifa jirani la Gabon ili kuwapa ulinzi raia wake nchini DRC endapo ghasia zitatokea baaada ya uchaguzi..

Presentational grey line

Waliyogombea urais ni kina nani?
Kulikuwa na jumla ya wagombea urais 21 lakini wagombea wakuu ni watatu:

Martin FayuluHaki miliki ya pichaREUTERS

  • Martin Fayulu, Mkurugenzi mkuu wa zamani wa mafuta ambaye ameahidi nchi yenye mafanikio lakini ambaye watu maskini wanahisi hawezi kuwatetea.

• Emmanuel ShadaryHaki miliki ya pichaAFP

  • Emmanuel Ramazani Shadary, Waziri wa zamani wa mambo ya ndani na mtiifu kwa Kabila, ambaye aliwekewa vikwazo na Muungano wa Ulaya kwa hatua zilizochuliwa upinzani wakati wa maandamano ya mwaka 2017.

Felix TshisekediHaki miliki ya pichaREUTERS

  • Felix Tshisekedi Tshilombo, Mtoto wa mwanasiasa mkongwe ambaye ameahidi kupambana na umaskini.

Presentational grey line

Zaidi kuhusu DR Congo

Nchi hiyo kubwa ya Afrika ya kati ina utajiri wa madini na ndiyo mzalishaji mkubwa wa madini ya cobalt, yanayotumiwa kwa simu na betri za magari.
Rais Kabila alichukua nafasi ya uongozi baada ya baba yake Laurent Kabila kuuawa mwaka 2001.
Alichaguliwa rasmi mwaka 2006, na baadae akapata tena nafasi ya kuongoza kwa muhula mwingine baada ya uchaguzi mwa mwaka 2011 uliyokumbwa na utata.
Alizuiliwa kugombea tena urais baada ya muhula wake wa mwisho uongozini kukamilika.
Kwa mujibu wa katiba ya nchi hiyo rais Kabila alitakiwa kuachia madaraka miaka miwili iliyopita , lakini uchaguzi uliahirishwa baada ya tume ya uchaguzi kusema kuwa inahitaji muda zaidi kuwasajili wapiga kura.

Uongozi wa Congo DRC tangu ilipojinyakulia uhuru mwaka 1960 kutoka kwa Ubelgiji

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply