sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Comments

Text Widget

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Total Pageviews

Translate

Advertise

Comments


Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Column Left

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus leo ante, consectetur sit amet vulputate vel, dapibus sit amet lectus. Etiam varius dui eget lorem elementum eget mattis sapien interdum. In hac habitasse platea dictumst.

Recent Posts

Popular Post

Most Popular

Recent Tube

Wisata

News Scroll

Favourite

Event

Culture

Gallery

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 02.05.2019

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 02.05.2019: Eriksen, Felix, Fernandes, Ferdinand, Ozil, Tuanzebe



Christian Eriksen,Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionChristian Eriksen,

Kiungo wa kati wa Tottenham Christian Eriksen, 27, amekubali kujiunga na Real Madrid japo hajasaini mkataba. (AS)
Menyekiti wa Spurs Daniel Levy huenda akaitisha pauni milioni £128 kumuuza kiungo huyo wa kimataifa wa Denmark. (Mirror)
Manchester United wameongeza juhudi za kuwanunua wachezaji wawili wa Urenos - mshambuliaji wa Benfica Joao Felix, 19, na kiungo wakati Bruno Fernandes, 24. (London Evening Standard)
Real nao huenda wakasubiri hadi mwaka 2020 kumsaini Eriksen kwa uhamisho wa bure. (Sun)

Rio FerdinandHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionRio Ferdinand

Mlizi wa zamani wa United Rio Ferdinand amefanya mazungumzo ya kina na klabu hi ya Old Trafford kuhusu hatua ya kufanyia marekebisho safu ya ufundi ambayo imemfurahisha naibu mwenyekiti mkuu Ed Woodward huku akipigiwa upatu kuwania wadhifa wa mkurugenzi wa kiufundia. (Manchester Evening News)
Meneja Ole Gunnar Solskjaer anatarajiwa kumteu Mike Phelan kama mkurugenzi wa kwanza wa kiufundi. (Times - subscription required)
Kiungo wa kati wa Arsenal na Ujerumani Mesut Ozil, 30, anasisitiza kuwa anaridhia kuwa katika klabu hiyo na kwamba anatazamia kuendelea kuwa nao msimu ujao. (Sky Sports)

Mesut OzilHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMesut Ozil (Kushoto)

Meneja wa Tottenham Mauricio Pochettino huenda akakabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa vilabu vingine vya Uingereza katika soko la uhamisho wa wachezaji msimu huu wa joto. (Telegraph)
Kiungo wa kati wa Chelsea na Ubelgiji katika kikosi cha wachezaji wa chini ya miaka 21 Charly Musonda, an matumaini ya kurejea klabu ya Vitesse msimu ujao. (Inside Futbol)
Manchester United wako tayari kumjumuisha katika kikosi cha kwanza mlinzi wa England Axel Tuanzebe, ambaye yuko Aston Villa kwa mkopo. (Mail)

Axel TuanzebeHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionAxel Tuanzebe

Mwenyekiti wa Crystal Palace na mmiliki mwenza wa klabu hiyo Steve Parish amewahakikishia mashabiki kuwa "hatapumzika" hadi kiwango cha mchezo wao kiimarike, hali ambayo itaongeza idadi ya mashabiki katika uwanja wa Selhurst Park kutoka 26,000 hadi 34,000. (London Evening Standard)
Mlinzi wa zamani wa Arsenal abriel Paulista, 28, ambaye anajiandaa kukutana na klabu yake ya zamani katika nusu fainalii ya ligi ya Europa na anasisitiza kuwa hana chochote cha"kuthibitishia" Gunners. (Independent)

Tetesi Bora Jumatano

Real Madrid haijajiandaa kumlipa mshahara wa £290,000 kwa wiki kiungo wa kati wa Man United Paul Pogba na kwamba mchezaji huyo atalazimika kuchukua kiwango cha chini iwapo anataka kujiunga na miamba hiyo ya Uhispania. (ESPN)

Paul PogbaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionPaul Pogba

Kiungo wa kati wa Manchester City Bernardo Silva, 24, anasema kwamba hajafikiria kuondoka katika ligi ya Premia , licha ya ripoti zinazomuhusisha na mabingwa wa Uhispania Barcelona. (Manchester Evening News)

GEORGE WAEH WARUDI IKULU

Rais wa liberia arejea ofisini wiki mbili baada ya kufurushwa na nyoka




Jengo hilo lilitakiwa kusafishwa vizuri kwa kemikali ya kuua nyoka kabla rais kushauriwa kurejea ofisini kwake JumatanoHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Rais wa Liberia na nyota wa zamani wa soka George Weah, amerejea tena kazini , wiki mbili kamili baada ya kuitoroka ofisi yake kwasababu nyoka wawili walikuwa wamepatikana katika jengo la ofisi yake.
Jengo hilo lilitakiwa kusafishwa vizuri kwa kemikali ya kuua nyoka kabla rais kushauriwa kurejea ofisini kwake Jumatano.
Mmoja wa watu wa kwanza kumtembelea rais Weah katika ofisi yake alikuwa ni Makamu rais wa zamani Joseph Boakai, aliyeshindwa na Weah katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2017.
Bwana Weah alizungumzia juu ya juhudi za serikali yake za ''kulinda misingi ya demokrasia'', na kuwavutia wawekezaji wa kigeni iki kuinua uchumi, taarifa hiyo ilitumwa kwenye wavuti wa serikali.
Rais amekuwa akifanyia kazi katika ofisi iliyopo ghorofa ya sita ya jengo la Wizara ya mambo ya nje tangu jengo jirani na ofisi ya rais lilipoungua kwa moto mwaka 2006.
Nyoka wawili weusi ambao walitoka kwenye shimo lilolokuwa kwenye sehemu ya mapokezi ya jengo la ghorofa sita walikwenda nyuma ya jengo hilo ghafla wakati watu walipokuwa wakijaribu kuwauwa.
Baada ya tukio hilo maafisa wa polisi na maafisa wa usalama wa rais walionekana wakiyalinda makao ya Bwana Weah katika mji mkuu wa Monrovia.
Kanda ya video iliochapishwa katika ukurasa wa kwanza wa gazeti la African News ilionyesha wafanyikazi wakijaribu kushambulia nyoka wakati walipoonekana katika eneo la kukaribisha wageni la jengo hilo.
Jumba hilo limekuwa katika eneo hilo kwa miaka kadhaa sasa kwasababu yamfumo wa maji taka , na maafisa wanasema kuna uwezekano wa nyoka kuingia katika jumba hilo.
Haijafahamiika ikiwa nyoka hao waliuawa au la.

MLINZI WA MFALME KUWA MKE WAKE

Mfalme wa Thailand Vajiralongkorn amemuoa mlinzi wake na kumtawaza kuwa Malkia




Picha iliyotolewa na ofisi ya Ufalme wa Thailand inaonyesha Mfalme wa Thai Maha Vajiralongkorn Bodindradebayavarangkun ( Kulia )akimmwagia maji Generali Suthida Vajiralongkorn na AyudhyaHaki miliki ya pichaEPA
Image captionMfalme anaonekana akimwaga maji ya baraka kwenye kichwa cha Malkia Suthida

Mfalme wa Thailand amemuoa Naibu mkuu wa kikosi cha walinzi wake , na kumpa cheo cha malkia, imesema taarifa ya ufalme huo.
Tangazo hilo la kushitukiza limetolewa huku sherehe za kutawazwa kwake zikitarajiwa kuanza Jumamosi, wakati atakapochukua wadhfa wake.
Mfalme Maha Vajiralongkorn, mwenye umri wa miaka 66, alikuwa mfalme kikatiba baada ya kifo cha baba yake aliyependwa sana kilichotokea mwaka 2016.
Amekwisha wataliki wanawake mara tatu na ana watoto saba
Ufalme ulisema kuwa: Mfalme Vajiralongkorn "ameamua kumpandisha cheo Generali Suthida Vajiralongkorn Na Ayudhya, na kuwa Malkia Suthida na atakuwa na cheo cha kifalme na hadhi kama sehemu ya sfamilia ya kifalme".
Malkia Suthida ni mpenzi wa muda mrefu wa Mfalme Vajiralongkorn na amekuwa akionekana hadharani pamoja nae kw amiaka mingi, ingawa mahusiano yao haukuwahi kukubalika rasmi.


King Maha Vajiralongkorn na mpenzi wake , Generali Suthida Vajiralongkorn ambaye ametajwa kuwa Malkia Suthida katika harusi yao mjini Bangkok, Thailand Mei 1, 2019, kHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMalkia Suthida alipewa cheo cha Generali mwaka 2016

Picha kutoka kutoka katika sherehe za harusi zilionyeshwa moja kwa moja kwenye vituo vya televisheni vya Thailand Jumatano, ambapo watu wa wengine wa familia ya ufalme na washauri wa ufalme walihudhuria.
Mfalme alionekana akimwagia maji ya baraka Malkia Queen Suthida kichwani. Baadae wawiloi hao walisaini cheti cha ndoa.
Mnamo mwaka 2014 Vajiralongkorn alimteua Suthida Tidjai, ambaye ni mhudumu wa zamani wa Thai Airways,kama naibu kamanda wa kikosi cha walinzi wake. Alimpandisha cheo na kuwa Generali kamili jeshini Disemba 2016.
Mfalme aliyetangulia Bhumibol Adulyadej, alitawala kwa miaka 70 na kuwa ndiye mfalme aliyetawala kwa muda mrefu zaidi duniani na alifariki dunia mwaka 2016