sponsor

sponsor

Slider

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

Comments

Text Widget

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Total Pageviews

Translate

Advertise

Comments


Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Column Left

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus leo ante, consectetur sit amet vulputate vel, dapibus sit amet lectus. Etiam varius dui eget lorem elementum eget mattis sapien interdum. In hac habitasse platea dictumst.

Recent Posts

Popular Post

Most Popular

Recent Tube

Wisata

News Scroll

Favourite

Event

Culture

Gallery

Brexit: PM says 'it's either my deal or no deal'

Brexit: PM says 'it's either my deal or no deal'


Theresa May and Boris JohnsonImage copyrightBBC/PA
Image captionThe PM says her Chequers plan is the viable option for a deal - Boris Johnson sees it as a "constitutional abomination"

Theresa May has told the BBC that MPs will have a choice between her proposed deal with the EU - or no deal at all.
In an interview with Panorama, she is also critical of plans by Brexiteers to resolve the Irish border issue.
But ex-foreign secretary Boris Johnson claims the government's failure to resolve the border question has led to a "constitutional abomination".
A BBC-commissioned survey indicates more people across the UK think the impact of Brexit will be negative.
Speaking to the BBC's Nick Robinson, Mrs May says that if Parliament does not ratify the Chequers plan "I think that the alternative to that will be having no deal".
But Mr Johnson's column in Monday's Daily Telegraph criticises her strategy to leave the EU.
He says Mrs May's Chequers plan "would mean for the first time since 1066 our leaders were deliberately acquiescing in foreign rule".
He describes a backstop for the Irish border as "an attempt to annex Northern Ireland" by Brussels in creating a border down the Irish Sea.
Mr Johnson says the prime minister's solution to the Irish border question in the Chequers plan would mean the UK "must remain effectively in the customs union and large parts of the single market until Brussels says otherwise".

Analysis

by Chris Mason, political correspondent
The Prime Minister's vision for Brexit has had bricks thrown at it at home, and in Brussels too. But her determination to stick with it - and sell it - continues; to the EU, to MPs, to Conservative activists and the wider public.
And there is, she says, a binary choice. Her deal or no deal.
Last week Conservative Brexiteers opposed to her plan set out their own ideas, including using technology to avoid checks at the Irish border. But, Mrs May argues, they are a non-starter.
But Boris Johnson claims the government's failure to resolve the border question has led to a "constitutional abomination" that will lead to a "total write-off of Brexit."

In her Panorama interview, Mrs May says there needs to be "friction-free movement of goods" with no customs or regulatory checks between the UK and EU on the island of Ireland, in order to avoid a hard border there.
Last week a group of Brexiteer Tory MPs said a hard border could be avoidedby using "established" technology and "modifying" existing arrangements.
Mr Johnson refers to the suggestions by the European Research Group (ERG) in his column, saying that "extra checks done away from the border" would prevent the need for physical checks when vehicles move between Northern Ireland and the Irish Republic.



Media captionTheresa May hits back at Boris Johnson over Chequers plan

But Mrs May insists that any system of checks is "still a hard border".
"You don't solve the issue of no hard border by having a hard border 20km inside Ireland," she says.
The Times has reported that the EU is "secretly preparing to accept a frictionless Irish border".
It says the EU's chief negotiator Michel Barnier is working on a new "protocol" text outlining a plan to use technology to minimise checks.
Please upgrade your browser

Bobi Wine: Mwanamuziki mwanasiasa kurejea Uganda baada ya kupokea matibabu Marekani

Bobi Wine: Mwanamuziki mwanasiasa kurejea Uganda baada ya kupokea matibabu Marekani


Mbunge wa Kyandodo Mashariki mwa Uganda ,Robert KyagulanyiHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMbunge wa Kyandodo Mashariki mwa Uganda ,Robert Kyagulanyi
Mbunge wa Kyandodo Mashariki mwa Uganda, Robert Kyagulanyi ambaye pia ni mwanamuziki maarufu nchini humo ajulikanaye kama Bobi Wine anatarajia kurudi nchini Uganda hapo Jumatatu akitokea nchini Marekani ambapo alienda kupata matibabu baada ya kupigwa na vyombo vya dola.
"Nitarejea nyumbani siku ya jumatatu,licha ya kuwa bado nna hofu lakini Uganda ndio nyumbani ambapo familia yangu na watu wangu wapo.Nina wasiwasi lakini waganda milioni 44 nao wana hofu hivyo lazima nirudi," Wine alibainisha hayo wakati akihojiwa na gazeti la Mail na Guardian
"Unaweza kukutana na kitu chochote Uganda,na hata ukiangalia historia ya wapiganaji wengi wa ukombozi wamekuwa wakikamatwa wakati wa ujio wao na mimi sina tofauti na wao hivyo nnatarajia chochote kunikuta wakati nitakaporejea"Bobi Wine alisisitiza.
Wine ambaye aliondoka nchini Uganda mwanzoni mwa mwezi septemba kwa ajili ya matibabu ameeleza pia kuwa ali yake kwa sasa inatengemaa .
Bobi Wine alikamatwa tarehe 13 Agosti baada ya mkutano wa kampeni kaskazini-magharibi kwenye mji wa Arua ambapo kuna madai kuwa msafara wa rais ulitupiwa mawe.
ugandaHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionBobi Wine mwanamuziki mwanasiasa wa Uganda
Mwanamuziki huyo mwenye miaka 36 awali alishtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa makosa ya umiliki wa silaha kinyume cha sheria, mashtaka ambayo yalifutwa baadaye. Kisha akafunguliwa mashtaka ya uhaini kwenye mahakama ya kiraia.
"Kwa sababu mimi asili yangu ni Uganda na wala sijatokea katika familia ya hali ya juu kifedha na asili yangu ni mtoto wa mtaani .
Hivyo historia yangu ipo wazi ili kila mmoja aione ,ninapoongea wajione wao pia kwamba nnawakilisha sauti zao kupitie kwangu kwa sababu nnajua maumivu wanayopitia"Wine alitoa ujumbe kwa waganda.
Vilevile Wine alieleza kwamba kipindi atakaporudi Uganda hatasababisha vurugu kutoka kwake au wafuasi wake lakini ataendelea kufanya kile ambacho amekuwa akikifanya kwa muda wote kwa kuwapa moyo waganda na kila mmoja kufanya jukumu lake na kila mmoja kusimama kudai haki yake.
Bobi Wine ni nani?
Nyota huyo wa mtindo wa Afrobeats aliingia katika taaluma ya muziki katika miaka ya 2000, hna anaelezea kipaji chake kuwa ni cha kuelimisha na kuburudisha. Mojawapo ya vibao vyake vya awali Kadingo, inahusu usafi wa mwili.
Jina lake rasmi Wine, ni Robert Kyagulanyi Ssentamu, alichaguliwa kuwa mbunge katika uchaguzi mdogo baada ya kusimama kama mgombea huru mwaka jana wilayani Kyadondo mashariki, Uganda ya kati.
Aliwashinda wagombea kutoka chama tawala National Resistance Movement (NRM) na chama kikuu cha upinzani Democratic Change (FDC).
Baada ya kutangazwa mshindi, aliahidi kuangazia zaidi kuwaunganisha raia.
"Jambo langu la kwanza ninalotaka kufanya ni kufanikisha maridhiano kati ya viongozi wa Kyadondo Mashariki...Ninataka siasa zitulete pamoja... jinsi muziki ufanyavyo."
Mfuasi wa Bobi Wine akiwa na bango lake la kampeniHaki miliki ya pichaAFP
Image captionWine anajiita "Rais wa Ghetto" na anaungwa mkono pakubwa na vijana

Ufuasi wa Vijana

Mchambuzi wa kisiasa Nicholas Sengoba anasema uchaguzi mdogo wa Arua ulioshindwa na mgombea aliyeungwa mkono na Wine ulikuwa ni wa 'kufa au kupona kwa Museveni'.
"Chama chake kitawaza iwapo sasa huu ni msururu. Bobi Wine sasa amemshinda Museveni na kiongozi wa upinzani Kizza Besigye mara nne'' katika uchaguzi mdogo.
"Bobi amepata ufuasi kwa nemba yake ya 'nguvu za watu', na ananuia kushinikiza na kupanga liwe vuguvugu," anaongeza.
Mchambuzi wa kisiasa Robert Kirunda anasema mvuto wa Wines unatokana na kuwepo 'pengo la uongozi' Uganda.
"Kuna vijana wengi Uganda ambao hawana haja ya kujua vita vya kihistoria vilivyoiingiza NRM uongozini, au ukaidi wa upinzani mkuu. Wengi wanataka ajira na wanahisi uchumi hauwasaidi."
Kirunda anasema Wine 'anapigia upatu sana'. "Anaweza kushinikiza watu pakubwa, lakini bado hajapata nguvu kama alizonazo Besigye katika upinzani".

Cyclone Mangkhut chaua 30 people Philippines spreads to Hong Kong

Cyclone Mangkhut chaua 30 people Philippines spreads to Hong Kong

One of the storms in the Philippines
Image captionOne of the storm pictures in the Philippines
Nearly thirty people have been killed after a Manghut hurricane hit northern Philippines.
Most of them were hit by the drought caused by heavy rainfall.
Many areas of the island of Luzon are flooded with water, including farms that produce major crops in the countryside of rice and maize.
In the area it is estimated that there are about twenty-six thousand three hundred and sixty-seven victims who need food support and other needs
The cyclone also bought animals and their herdsmen
Image caption Thecyclone also bought animals and their herdsmen
Red Cross Officer Chris Staines has told the BBC about the existence of dangers in the coastal landscape of Philippine mountains that were hit by hurricanes.
'' The western mansoon winds have gone, causing the area to be pre-storm before the Mangkhut hurricane, and to cause more rainfall ''.
Efforts to restore infrastructure continue
Speaking to the BBC, the United Nations United Nations United Nations Correspondence Coordinator Ola Almgren has described the challenges facing aid agencies.
'' The cyclone has caused two major effects: wind and water. What we are waiting for more fun in other places is how it has been affected by rains that have been hit by the cyclone. So we are now doing research on aid, and destruction. We can take action as much as we need through the resources we have. We are preparing to increase our efforts with the resources international that will be needed ''.
Here is Hong Kong
Parallel to causing death, Cyclone Mangkhut has caused billions of dollars losses in Philippine and Hong Kong countries .

YALIYOJIRI MICHEZONI WEEKEND HII

Romelu Lukaku: Mkufunzi wa Man Utd Jose Mourinho 'hawezi kuficha hisia zake'

Romelu Lukaku: Mkufunzi wa Man Utd Jose Mourinho 'hawezi kuficha hisia zake'


Lukaku na MourinhoHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionRomelu Lukaku alijiunga na United kutoka Everton kwa dau la £75m mwaka 2017
Jose Mourinho hadanganyi na hawezi kuficha hisia zake kama wakufunzi wenzake katika ligi ya Uingereza , kulingana na mshambulijia wa United Romelu Lukaku.
Mkufunzi wa United Mourinho alitaka kupewa heshima na vyombo vya habari baada ya kukasirika katika mkutano na wanahabari baada ya timu yake kupoteza 3-0 nyumbani dhidi ya Tottenham mwezi Agosti.
Lakini Lukaku anasema kuwa raia huyo wa Ureno ni mtu wa familia , ''huwafanya wachezaji kucheka na anawapigania'' , hivyobasi anahitaji heshima.
''Watu wanajua kwamba ana upande unaomfanya kuwa mshindi'', alisema Lukaku.
''Lakini kile ninachompendea hawezi kuficha hisia zake. Wakati anapokasirika utajua amekasirika, anapofurahi utajua anafurahi''.
''Sijui kwa nini watu hawapendi ukweli kumuhusu. Wakati anaponikasirikia najua kwamba amenikasirikia hivyobasi najaribu kufanya anachotaka hatua inayomfanya kufurahi tena.
Katika mahojiano na Dion Dublin , mshambuliaji huyo wa Ubelgiji pia amezungumnzia kuhusu mafunzo aliopata kutoka kwa mchezaji wa zamani wa Ufransa na Arsenal pamoja na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba , mbali na uhusiano wake na mkufunzi wa zamani wa Everton Ronald Koeman huku akitaka kumaliza kazi yake bila majuto yoyote.
'Mourinho anependwa na kila mtu'
United ilimaliza ya pili katika jedwali la ligi ya Uingereza msimu uliopita lakini ilipoteza mechi mbili za kwanza kati ya nne katika kampeni yao.
Lukaku ,25, anasema kuwa Mourinho hatosita kuingilia kati iwapo hafurahii wachezaji wanavyocheza ama timu yote kwa jumla.
''Mara nyengine wachezaji tunakuwa laini sana'' , aliongezea Lukaku.
''Ninapowasikiliza wachezaji wa zamani na wa sasa , mkufunzi hawezi kusema anachotaka kutoka kwa mchezaji kwa sababu unahisi anakushambulia''.
''Lakini sihisi ananishambulia, kwasababu hivyo ndivyo nilivyo-mimi sio laini, lakini huwezi kupata nguzo kama hiyo katika soka -ninakotoka ndivyo tulivyo''.
''Uhusiano wangu naye ni mzuri . Ananichekesha , anawafanya wachezaji kucheka ni mtu anayependa familia''.
Lazima watu waheshimu kwamba anataka kujihifadhia heshima yake. Hapa anataka tuimarike . Ni mtu wa kawaida, tuna uhusiano mzuri naye anapendwa na kila mtu.

Virusi vya HPV: Unaweza kupata virusi hivyo kupitia ngono salama

Virusi vya HPV: Unaweza kupata virusi hivyo kupitia ngono salama


Laura FlahertyHaki miliki ya pichaLAURA FLAHERTY
Image caption"Nilidhani mpenzi wangu anaenda nje nilipouguzwa HPV"
Utafiti mpya umebaini kuwa viwango vya juu vya ukosefu wa kujua pamoja na fedheha inayohusishwa na virusi vinavyosababisha magonjwa ya zinaa yaani HPV, huathiri 80% ya watu.
Serikali ya Uingereza imezindua vipimo vya HPV kama sehemu ya uchunguzi wa kawaida wa saratani ya shingo ya uzazi.
Karibu nusu ya wanawake waliyohusishwa katika utafiti huo waliamini kuwa wapenzi wao huenda walishiriki mapenzi na mtu mwingine na kuwaambukiza virusi hivyo japo inaarifiwa kuwa virusi vya HPV, vinaweza kuwa hai katika mwili wa binadamu kwa miaka kadhaa.
Wanaharakati wanahofia wanawake huenda wasikubali kufanyiwa uchunguzi kwa sababu ya kuogopa kutengwa.
Utafiti huo uliyohusisha wanawake 2,000 ulifanywa mwezi uliyopita na hazina Jo ambayo jukumu lake ni kupambana na saratani ya shingo ya uzazi.
Utafiti huo ulibaini kuwa nusu ya wanawake waliona aibu na kusitisha kufanya mapenzi kwa kuhofia aambukizwa virusi vya HPV.
Karibu 35% ya wanawake hawakuwa na ufahamu HPV ni nini na wengine karibu 60% walijibu kuwa inamaanisha wanaugua saratani.
Laura Flaherty, 31, aliyepatikana na saratani ya malango wa uzazi mwaka 2016, ni mmoja wao.
"Kwanza nilipoona barua ya matokeo ya vipimo vyangu vimethibitisha niko na virusi vya HPV,sikuelewa hiyo ni nini. Nilipotafuta maana yake kwenye mtandao wa Google nikafahamu ni ugonjwa wa kuabukiza wa zinaa , kwa hiyo moja kwa moja nidhani mpenzi wangu alikuwa na anatembea na wanawake wengine.
"Sikuelewa choco kuhusiana na ugonjwa huo lakini nilijihisi mchafu. Sikujua huenda nilikuwa na virusi hivyo kwa muda mrefu. Nilipoarifiwa kuwa HPV ni virusi vya kawaida nishangaa sana. Sikuwahi kusikia lolote kutoka kwa watu niliyosema nao, huku wengi wao wakiwa katika hatari ya kuabukizwa.

Kukabiliana na dhana fiche kuhusu virusi vya HPV

Dhana: Unaweza kupata virusi vya HPV kwa njia ya kujamiana pekee
Ukweli: HPV sana sana huenezwa kwa njia ya kujamiana lakini pia mtu anaweza kupata virusi hivyo kugusana kimwili hasa maeneo ya utupu na mtu aliye navyo.
Dhana: HPV ni inaashiria mtu ni mzinifu
Ukweli: 80% ya watu watapatikana na virusi vya HPV wakati mmoja katika maisha yao, ni rahisi kupata virusi hivyo na kuvisambaza kwa mto wa kwanza utakayefanya mapenzi nae
Dhana: HPV inamaanisha niko na maradhi ya saratani
Ukweli: Kuna karibu aina 200 ya HPV. Karibu aina 40 ya virusi hivyo huathiri maeneo ya utupu, hii ina maananisha virusi hivyo vitaishi maeneo hayo ya mwili na baadhi ya virusi hivyo huenda vikasababisha magonjwa ya zinaa. Karibu aina 13 ya virusi hivyo huenda vikasababisa saratani ya shingo ya uzazi na aina nyingine ya saratani kama vile ya mdomo au koo lakini visa hivyo ni vichache.
Dhana: Utajua ikiwa una virusi vya HPV
Ukweli: HPV haina dalili zozote na wakati mwingine mfumo wa kinga ya mwili huweza kukabiliana na maambukizi. uchunguzi wa shingo ya uzazi unaweza kubaini seli zozote tumbo
Utafiti huu unakuja wkati serikali iko katika harakati ya kuzindua mpango wa kwanza wa watu kufanyiwa uchunguzi wa virusi vya HPV katika eneo la shingo ya uzazi. Wales itakuwa ya kwanza kuendesha mpango huo wiki ijayo haijazinduliwa England kufikia mwaka 2019 na baada kupelekwa Scotland ifikapo 2020 japo muda wa zoezi hilo Ireland kaskazini haujatolewa.
picha inayoashiria hali ya mgonjwa wa zinaaHaki miliki ya pichaSIPHOTOGRAPHY
Image captionVipimo vya kwanza vya HPV vimeanzishwa Wales juma hili
Robert Music, Afisa mkuu mtendaji wa, wakfu Jo wa saratani ya shingo ya uzazi, amesema: "Uchunguzi wa HPV kwanza ni njia bora zaidi ya kuwatambua watu waliyo katika hatari ya kupat asaratani ya shingo ya uzazi. Mabadiliko haya ya utaratibu wa uchunguzi haimaanishi wanawake wengi zaidi wataambiwa wana virusi vya HPV.
"Virusi vya HPV hata hivyo vinaweza kuchanganya watu,kwa hiyo ni vyema kuwahamasisha wasiwe na hofuu wala kuona aibu wanapoambiwa kuwa wana virusi hivyo."
Viwango vya maambukizi ya virusi vya HPV vimepungua kwa wasichana waliyo na umri wa kati ya miaka 12 na 18 kufuatia chanjo ya kukabiliana na virusi hivyo iliyoanzishwa mwa 2008.
Mwaka jana chanjo hiyo iliwajumuisha wanaume waliyo na umri wa kati ya miaka 16 hadi 45 na ambao ni wapenzi wa jinsia moja. Kufikia mwezi Julai mwaka huu serikali ya Uingereza ilitangaza hatua ya kutoa chanjo hiyo kwa wavulana pia japo haijatoa tarehe ya kuanzishwa kwa mpango huo.
Wataalamu wa masuala ya afya wanatarajiwa kuendeleza mdahalo kuhusu virusi vya HPV na wagonjwa katika juhudi za kuimarisha uelewa wao wa ni vipi virusi hivyo vinavyosambazwa na jinsi ya kukabiliana na suala la unyanyapaa.